Saturday, January 5, 2013

TUJIKUMBUSHE TAMASHA LA MASANJA MAKANDAMIZAJI LILILOFANYIKA MKOA WA IRINGA MWAKA JANA


Tamasha hili liliwakusanya watu wengi sana mkoani Iringa. Wasanii wa Bongo Movie kutoka Dar hawakukosa pamoja wa wabunge na viongozi wengine wa serikali. Viongozi wa dini walikusanyika kuhakikisha shughuli inaenda sawa.

Masanja akiingia jukwaani kwa style ya kikomandoo

Masanja akiwa na wapigashow wenzake wakiendeleza gwaride

Masanja akikagua gwaride


Masanja akiwa ameanza vitu vyake katika uzinduzi wa albam yake.


Umati wa watu uliofurika uwanjani kupata burudani


Masanja akisoma Risala kwa mgeni Rasmi


Wasanii wa Bongo Movies wakijitambulisha jukwaani wakiongozwa na Steve Nyerere


Ray akijitambulisha kwa mbwembwe


Wolper naye akijitambulisha kwa madaha


Mgeni Rasmi Naibu Wazri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Philipo Mulugo akizindua albamu ya Masanja


JB akitoa supoort kwa kununua albam(DVD na Audio CD)


Msanii Martha Mwaipaja naye akitumbuiza jukwaani

Msanii Martha Baraka naye hakuwa nyuma kuwapa burudani wanairinga

No comments:

Post a Comment